Hahaaaa hv kwa mfano mke wako akikuita Mario mpo tu wawili we mwanajf utajiskiaje??
We mwanamke Wa jf utajiskiaje mtoto wako akitwa Mario na mwali wako mkiwa watatu tu?
We mtoto utajiskiaje baba ako akiitwa Mario mbele ako?
Da mwani nakupenda sanaaaaaaa hakuna bongo muvi km wewe
Happy birthday to you
Ashakum si matusi........waislam tunaruhusiwa kuolewa na tuliowazdi umri.sio umario,sitamani urudie kumuita hivyo mumeo,ungemuita ata laazizi inni mkalia nyongo mbona ngekuelewa lakn si hilo.sikuchagulii la hasha ni maoni tu