Happy Birthday Sakayo

Auntie hope sijachelewa keki🙈🙈

Heri ya siku ya kuzaliwa kwako kipenzi, panya mla vitenge vyangu. Nakupenda hivyo hivyo tafanyaje sasa na ndio mzigo wangu🙆
Muumba mbingu na nchi akujaalie kila lililo kheri mama yangu, na uzidi kuwa na hekima na busara na uwarithishe na wajukuu zangu(speaking of wajukuu mwambie na Shunie msinitanie kabisaa nawahitaji wa kutosha hivyo anzeni kazi).
 
Auntie wangu jamanii!
Keki yako ipo imejaa, ndo kwaaanzaa niko kitandani naikata mimi!!

Jamani jamanii auntie, nakupenda japo unanivuruga ila ndo ushakuwa autie wangu!!

Mwakani naanza kukuletea wajukuu wala usijali kabisaaa jamanii auntie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…