Atakuja kusema mwenyewe apaWeka na Umri wake kwasasa tafadhari.
Yaani ana miaka mingapi ?
Sisi wanaume jinsi miaka inavyokuwa mingi na heshima inaongezeka.
Living LegendHappy birthday kwako kaka mtema nondo za maana, mi mfuasi wake sana, sijawahi kujuta kumkuta kwenye jukwaa lolote humu jf
Siku ya birthday yangu nitakualika uwe mpambe wangu. 😇 Hakikisha unavaa kagauni kafupiii kama Joti!!!Happy b'day granpah
Uishi miaka mingi.
[emoji512][emoji512][emoji512]
[emoji375][emoji419][emoji177]Leo ni siku ya kuzaliwa Legend Mshana Jr Tumtakie heri kwenye siku yake Leo.
Older than yesterday, younger than tomorrow.
Happy birthday mkuu.
[emoji1545][emoji177][emoji375][emoji419]Happy birthday kwako kaka mtema nondo za maana, mi mfuasi wake sana, sijawahi kujuta kumkuta kwenye jukwaa lolote humu jf
[emoji1752][emoji419][emoji375][emoji177][emoji173]Leo ni siku ya kuzaliwa Legend Mshana Jr Tumtakie heri kwenye siku yake Leo.
Older than yesterday, younger than tomorrow.
Happy birthday mkuu.
Kuna habari ya yule mtu aliyejiua kwa kujirusha, sasa inasemekana kuna rafiki yake wa karibu kapotea tarehe 26, akiaga kwenda kwenye msiba ya huyo rafikiye, we ndo unajuaga kutuhabarisha hebu ingia chimbo
Kwanza uniambie ni lini, nkuanzishie uzi rafiki anguu, na ntakupambaa balaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku ya birthday yangu nitakualika uwe mpambe wangu. [emoji56] Hakikisha unavaa kagauni kafupiii kama Joti!!!
PoapoaKuna habari ya yule mtu aliyejiua kwa kujirusha, sasa inasemekana kuna rafiki yake wa karibu kapotea tarehe 26, akiaga kwenda kwenye msiba ya huyo rafikiye, we ndo unajuaga kutuhabarisha hebu ingia chimbo