Happy Birthday Shunie!!!!!!!

Dah sio mbaya nitaileta ya kwangu tukate tena.

Happy birthday baby girl, uendelee kua mrembo sio sababu miaka inasonga ndio uache kupaka wanja wa lulu na make up ya Huddah.
Hahahhaha asante babe [emoji8][emoji8][emoji8] mm na kujipodoa ujue tofauti huo wanja wa Lulu sijawahi kupaka toka uingie
 
Kuna siku bwana haupo jf nilimwambia dada anakusalimia nikawa namwita shemeji akasema kwa ukali mm sio shemeji yako we unamjua shemeji yako mshipa unakumbuka ile siku
Sema kweeli
Alinikana kumbeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…