Happy Birthday Shunie!!!!!!!

Heri ya kuzaliwa Shunie nakutakia maisha mema yenye furaha na mafanikio kwa miaka mingine utakayopewa ila ukumbuke hili andiko la mhubiri

MHU. :12:1
Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.
 
I'm speechless [emoji22] kwakweli

Truly appreciate for the love and gratitude you showed me [emoji173]

Nakupenda sana sakayo wangu Mungu wetu azidi kutuweka tu nakosa hata cha kuandika [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…