Happy Birthday Shunie!!!!!!!

Ila unaonekana upo romantic ww.Uzuri wa ninyi aged wasafiii,halafu unapompa mtoto kama mie unampa Kwa roho Safi tu tena any time."shkamoo lakini"
Kheeee yamekuwa hayo tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unataka kulelewa eenh
 
Hahaaa...aende kwa maslay queen!IG kila mtu mzuriii!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Atuache na ugagula wetu aende ig kwake uko
 
Ndugu acha tu hapa kutoka humu mpk mjiniii....shughuli huku hata uber haifiki,daladala zenyewe tafrani acha wangu!!!maduka mwisho saa 3!!!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]yaani tabu nnayo Mimi jomoniiii
Pole sana ila ndio vizuri jamani ujue
 
Kivuruge wangu mimi,kipenzi changu,ndugu yangu na rafiki yangu kipenzi uliyekuwa nami tangu siku ya kwanza naingia jf hadi leo,nakupenda sana tena zaidi ya sana na zaidi nakuombea kila la kheri katika maisha yako na mwenyezi mungu akutimizie kila hitaji la moyo wangu na akupueshe na mabaya ya dunia
 
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]una visa weye ngoja tukuleteee diaper!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Niwe kama faiza
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Niwe kama faiza
Hahaaa...unavaa na picha wapiga daah!! Ukitoka hapo ushakua maarufu na folowaz unawapata fastaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…