Hahahahah hana habariUtoto...?!!mapenzi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]bibie...mziguaa ndo alikua busy kama wotee anacheza na kuimba na kula beer...chaaa!!!
Ijirudie tu tujinyweee tuHahaahaa...aliona unampotezea stimu za pombeeee!!
Ile siku natamani ijurudieee
Asante sana
Shukrani mnoooo zakazaka ubarikwe sanaJana nilichelewa kuingia JF kwahiyo sikuweza kuwahi kwenye birthday yako Shunie
Naomba upokee birthday wishes zangu japo zimechelewa, maana hata wahenga walisema kawia lakini ufike
Mungu Akupe maisha marefu ukiwa katika afya njema na furaha tele katika siku zoote za maisha yako
Aamiin, tubarikiwe sote ndugu yanguShukrani mnoooo zakazaka ubarikwe sana
Ameen [emoji120][emoji120][emoji120]Aamiin, tubarikiwe sote ndugu yangu
Hahaha hahaha[emoji3][emoji23][emoji2][emoji1][emoji28][emoji1][emoji3][emoji3]sakayo una nini yaani uniulize Leo kama nlifika salama...chaa...walinikabua..
Shunie alikua wawili kichwani mwenzio anaenjoy pombe we unajiliza hahaaa....mlevi si mtu atiii!!!
Pole na kufuaHajatokea sasa hivi natoka kijijini naenda kijijini kwangu nilienda kwa mzee kumfulia
Na wewe umeonaeeHahaaa...shunie bwanaa...anakuchenchia live hapa
Aiseee bia haina rafikii... Mzigua alikuwa busy na maunoo...Utoto...?!!mapenzi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]bibie...mziguaa ndo alikua busy kama wotee anacheza na kuimba na kula beer...chaaa!!!
KhaaaaHahaahaa...aliona unampotezea stimu za pombeeee!!
Ile siku natamani ijurudieee
Wewe huyooAcha kunibebesha lawama jamani we nimekubembeleza sana nimekufuta machozi