[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
@eli79 ni msanii huyo mtu hata usimsikilize.
Sitakiiiii.Hapo ndio napata fursa ya kukubembeleza honey.
Sio kosa lake, tatizo ni msukuma.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtunane anazingua!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Macho makavuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unanisingizia mimi jamani kaka...
Bado kidogo nipate ule ugonjwa wa kuchekacheka mimi jamani kaka!
Habari za wolidi kapu?Happy Birthday Shunie,, Mungu akupe kila hitaji la moyo wako lililo jema..
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanga au K'njaro, ni ushauri tu[emoji39][emoji39][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu msukuma muache tu auntie yangu, turudi Tanga, hawa wa bara wanawezana wenyewe.
Wooooi!! K.njaro asithubutu.Tanga au K'njaro, ni ushauri tu[emoji39][emoji39]
Baby hajambo sana, na yeye kaiona xmass, lolHahaha baby daddy bwana vipi baby wetu anaendeleaje jamani
Ndio.
Ya ukweli.