Naendelea kusoma, huwa sichokagi kusoma[emoji23][emoji23][emoji23]Awwww [emoji8][emoji8][emoji8][emoji1780] moyo wangu umeenda mbio spidi ya jeti
Naisubiri.Natupia top ten yangu soon!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nitamwibia nani kibibi gagula mieWooiii
Unamuibia nani eti jamani
[emoji131][emoji847][emoji847]Awwww [emoji8][emoji8][emoji8][emoji1780] moyo wangu umeenda mbio spidi ya jeti
Huyo hatuachani, hata kifo hakitutenganishi.Jamani hivi ndio kaachwa anko wetu au
AimenTuelewe tu dada we utaona ikifika hiyo 2022,, Mungu atuweke hai tu Inshaallah..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah mkwe leo mishipa yote ya shingo umeiweka kwenye hii mada...utapaliwa na mate oohooooSuprise my foot, hapa naona suprise iloandaliwa ni wolidi kapu tu. Tumewastukia.
Sasa mbona wewe ndio umewaza naniliu? Ni wapi binti yangu katamka naniliu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi mtu akisema kucheza cha kwanza mtu utawaza nini jamani?? Wabongo mnawaza sana naniliu jamani daah hadi siyo poa!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kucheza miziki dada tena hapa nilipo metoka kucheza yope remix
Sent using Jamii Forums mobile app
Kotekote shunie[emoji23][emoji23]Tabia zipi hizo za ubahili au kukwichi kwichi
Halafu ukajishtukia kumbe shemejiHahaha...
Almanusura nibinuke na kiti hapa...
Mkuu nimefurahi sana...[emoji131][emoji847][emoji847]
all the hugs n kisses to you