[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niagizie basi jamani auntie nami nikapite wanikonyezee
Kama jimbo liko wazi tunaweza fanya mamboVipi mkuu eti unataka kumuwowa au
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui ndo huyoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nawafuataa
Hhahaha mtu chake kama namuona na majibu yakeHahahaahahha
Ndo unakwama hapo sasa my dear
Hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi mtu akisema kucheza cha kwanza mtu utawaza nini jamani?? Wabongo mnawaza sana naniliu jamani daah hadi siyo poa!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kucheza miziki dada tena hapa nilipo metoka kucheza yope remix
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti eeenhKama jimbo liko wazi tunaweza fanya mambo
Aimen
Mnikujie na vuvuzela
[emoji41][emoji41]Halafu ukajishtukia kumbe shemeji
Auntie kingozi toka mda yupo nayeNadhani hivyo, auntie anataka kingozi
Hahah...kwa nini kaka?Mkuu nimefurahi sana...
Sasa mbona wewe ndio umewaza naniliu? Ni wapi binti yangu katamka naniliu?