Some words are just too sweet to read mkuu..Hahah...kwa nini kaka?
Hahhaha panda treni ukujeLoh...hapa nishaikosa...ngoja nisubiri mwakani tena [emoji39][emoji4]
Anko wangu huyo ulikua wapi jamaniaiseee
aibu nimeona mimi
Ebu muulize ako na mahelaMume huyo sasa jamani
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Nitajuaje mmefika world cup eti
Kwani we Karma unapooza mara ngapi kwa mwezi![emoji125][emoji125][emoji125]
Mara moja kwa mwaka kama mimi.