Kwa hiyo serious mnaniacha jamani..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] loh tutatuma picha jamani,, huo wivu siyo wa nchi hii akii..
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaNjoo chukua
Hahah nani anataka kukaa siku mbili njiani...si nitakutana na boksi la keki tuHahhaha panda treni ukuje
Kwa hiyo serious mnaniacha jamani..
Nitaambia nini watuu mimi jamani
Una mongo[emoji39][emoji39][emoji23]Mara moja kwa mwaka kama mimi.
Nina furaha sana mdogo wangu..Mbona unacheka eti jamani kaka
Nayaijia mwezi wa kwanza mimiMautani ya nini, niko serious jamanii! Njoo chukua
Sakayo umemuagaDah uzi upo speed sana, hebu ngoja kwanza nitarejea baadaye...
Niko makao makuu ufipa, ninakataa naanza maandamano. Ilà uzuri umesema "naweza" sio "ninakaa", kiswahili kitam sana.
Hahahahaha nimechekaHahah nani anataka kukaa siku mbili njiani...si nitakutana na boksi la keki tu
Hahahaha, nakutumia sasa hiviMbona hutumi jamani kila mda naangalia text zinazoingia
Hahahha lazima tuulize hata kama nimezeekaNaogopa mimi..
Unaanza masharti huku ushazeeka
That'd be so sweet, ilà vile no mdogo wangu atanionyesha[emoji23][emoji23]
We mzee bwanaHahahaha, nakutumia sasa hivi
MTC | 101| [emoji769]
Hahaha halafu mbona sasa umejikausha...narudisha kufuli mimiHahahahaha nimecheka