Sakayo hajakosea miaka 40 iliyopita bado sijafika 50 ujue
AiseeeMajuzi tuu jamani!
Leo ndo namuona ndo maana nikauliza hali yake
Nakutumia pm cheti ch kuzaliwa sijui utaendelea kukana ujue humu wengi vizee sisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa si ndiyo umejitunuku,, kwamba unataka niamini kuwa wewe miaka 40 umefika?? asubutuu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani ebu tumeni hiyo mihamala mpaka sasa Watu8 ndio anaongoza ubarikiwe tu jamani ulipotoa shem bebe
Asante kwa maombi Sakayo, nakuombea baraka za kutosha zikufikie wewe.Mungu ni mwema sana jamani! Azidi kukupa amani mamii!
Huamini au[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa si ndiyo umejitunuku,, kwamba unataka niamini kuwa wewe miaka 40 umefika?? asubutuu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwache wewe hauoni bado ni katoto? Ukianza kukaambia haya mambo katajuta kuzaliwa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chizi wangu bwana, haumwi! Aliondokewa na mama yetu
Asante Shunie, ni kweli hayazoeleki.Pole jamani kwa kumpoteza mama najua maumivu yake nimeyapitia msiba wa mama hauzoeleki Mungu azidi kuwatia nguvu mpenzi
@Karma kajianika na miaka yake ishirini na kitu mimi siku hiyo namsoma nasema huyu dogo atapata shida sanaHahahahaha
Mimi kipindi naingia huku nilikuwa nishajua watoto wanaonewa, ko niliingia na miaka 30
Hahahha yaani umekuwa kivuruge wewe unawachokoza wapi sasa
Sema kweli jamani unataka kutuma muhamala
Hata sielewi mimi jamani
Tatizo mdogo wetu mbishi mnoooHuamini au
Halima mdee ako 42 imagine
Jamani pole mnooMwache wewe hauoni bado ni katoto? Ukianza kukaambia haya mambo katajuta kuzaliwa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hako kamekomaa kabisaa!!
Huoni kanavyodai mpesa kwa nguvuu