Kabisa.Kigorii
Mtoto anaye baba mkuu
Tuma kwanza pesa nitakujibu.We mwenzetu umezaliwa mara ngapi kwa mwaka?? Au we ni njiti unahesabia besidei mbili ya kutoka kwenye womb na kutoka kwenye incubator??
Halafu nimekumbuka hilo swali hivi mtoto wa hivyo besidei yake halisi ni ipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ubishi haujaacha tu?Heee basi na mie besidei yangu leo,, na mie utakuta nimekutumia namba pm nasubiri muamala..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana mimi huwa siwezi kushindana na wakubwa zangu hata siku moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we nimekuwa star wa bongo movie mie??
Sent using Jamii Forums mobile app
KhaaaaHeee basi na mie besidei yangu leo,, na mie utakuta nimekutumia namba pm nasubiri muamala..
Sent using Jamii Forums mobile app