HahhahahhaAibu naona mimi jamani
Si ukate tamaa tu bado unadai tu jamaniYaani jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] fwala weweSawa kaka jamani...
Kwa hiyo unavua nguo zote ndo unalala?! Ni kila siku?! Je mwizi akikuja?! Je popobawa akikuja?!
Hahhaha smart bwana leo unanifurahisha sana
Ngoja waje kutoa muongozo!
Nakuachaje sasa...? [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] Niacheee
Mimi ni nani smart nikubishie [emoji847][emoji847] stress za kodi ya nyumba nimeshamtupia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mfyuuuu niacheee kwa nini usiniulize wozapNimeona keki, naomba ikuje na zile raba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja waje kutoa muongozo!
Cc@mahandow
Ebu uko unajifanya hujuiNawaza tuu mimi jamani dada!!
Silali bila nguo aisee
Hahhaa mimi mwanzo sijamjua ulivyomdai zawadi ndio kujua huyu aliYaaaniii namdai hadi akomee...keshabadili ID mara nne ila ninaye tuu
Asante mpenzi wangu [emoji8] barikiwa 40 nimefikisha bwana mbona hamtaki kuaminiHeri ya mfanano wa siku ya kuzaliwa dear Shunie, uishi umri mrefu mpaka ushangae, ila 40 bado bana,nahisi u bado kabinti kabichiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaha chizi wewe
Sikupata nafasi ya kukwambia hata Shunie nimemwambia leoMbona mimi hujaniambia jamani