Yaani sikujua hata kuniitia pilau ungeshindwa, kweli nimeamini sipendwi.Kaka nimekununiaa mimi, wewe sio wa kunitenga mimi kiasi hicho kabisaa jamani kaka!!
Najua hunipendi, haya ni maneno tu. Hivi mimi na wewe kula na kunywa mvinyo pamoja ni dhambi?Nakupenda kaka, nakupenda sana!
Hiyo siku sikuwasha hata jiko nikijua naalikwa!
Lakini ukitumia kluger yako ile nyeusiKupishana vipi jamani!
Umesahau wameshanitoa hukoo, nakujaga kuangalia mashamba tuu
Naumia mimi jamani kaka, usiseme hivyo jamani!!Najua hunipendi, haya ni maneno tu. Hivi mimi na wewe kula na kunywa mvinyo pamoja ni dhambi?
Njoo nyumbani.Napokelea wapi eti jamani auntie
Mie mwenyewe nimeyaacha yajipambanie yenyewe, yasinichoshe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwani wewe amekufanikishia mambo yako yote? Mengine anakuacha upambane kivyako.
Ndio.Wewe siku hizi sikuelewi!
Kule mpakani umehama au?!
Bado tairi na TRAAcha kunisingizia mimi jamani! Natoa wapi huo mnyama mimi! Na kitalu ushaninyima?!
Hivi lile letu limepona?!