mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
nitakuletea na chapati ili uzile vizuri hizo kengere!,wakati huo mimi nimekaanga mtindi wako nalia na ugaliWakati unaning'oa meno, mimi nitakua nishakutoa kengere naenda kupikia supu
oya umealikwa kwenye basidei au unapiga kelele tu hapa..??Kwani mimi ni kipofu hadi nisione
Dada nimeolewa naomba notes zako 🥰Wishing you a birthday as perfect as you are for me.
Your day is as special as you are! May your birthday be as unforgettable as you are every day.
Here's to another year of good health and happiness.
May you have all the love your heart can hold, all the happiness a day can bring, and all the blessings a life can unfold.
Happy birthday to the man who loves me at my best and worst.
Happy birthday my friend a best friend in deed my soulmate!
Happy birthday Smart911 .
Happy birthday my love
View attachment 3042728View attachment 3042731
ohoo! hichi kitutufe ama kipapatio mi sikiwezi kibishi mno!..🤣
Hili swali nikuulize wewe! Umekuja umenikuta kwenye birthday siti ya kwanza kabisaoya umealikwa kwenye basidei au unapiga kelele tu hapa..??
pole kwa tishio lilokutisha...Jikite kwenye mada!
'Happy birthday Smart911'
njoo huku nyuma huko mbele utaangukia keki ya watu maana nakujua ukilewa wewe unarukaga sambasoti...😀Hili swali nikuulize wewe! Umekuja umenikuta kwenye birthday siti ya kwanza kabisa
Utaniwezea wapi mimi headache na wewe panadol haunaohoo! hichi kitutufe ama kipapatio mi sikiwezi kibishi mno!..🤣
Situmii vilevi kama wewenjoo huku nyuma huko mbele utaangukia keki ya watu maana nakujua ukilewa wewe unarukaga sambasoti...😀
Sawa sawa🥰🥰Malizia kwanza honeymoon nakuandalia nondo za kushatrooo!!
Mapenzi matamu hasa ukipata mpenzi rafiki kama @Smart911🎂🎂🍾🍾🍾!
Enjoy mamy
Akuuu! Mwanaume ana gubu mimi wa nini
hujakaa tu kwenye line mbona we maji utaita mma!Utaniwezea wapi mimi headache na wewe panadol hauna
mi nakunywa choda tu kama wewe...🤣Situmii vilevi kama wewe
Umevamia kambi ya watu au sio? Unajifanya huoni?
Nakaaje kwenye line wakati umiliki mtandao wowote wa simu zaidi ya smart kitochihujakaa tu kwenye line mbona we maji utaita mma!