Mskie dizastaHivyo vibao alivhotamba navyo labda vibao vya mbuzi.
Msanii gani miaka zaidi ya 10 ni underground.
Si ndio huyu aliyekuwa analilia kupewa show?
Hawezi kuelewekaMskie dizasta
Fuvu limeshiba mautundu kwenye kichwa, Niko UNDERGROUND na huku ndio mitutu inakofichwa.../
Mskize nala
Huvumi kwa UJUZI, unachana nini zaidi ya uhuni na ushuzi.../
Ukiona nakichunia nawe chuna, utanambia nini amekuinspire YOUNG LUNYA.../
Waskie watema nondo
Nipo tofauti kidogo ukinita CHIPUKIZI umenidhalilisha, ukinita SUPERSTAR umenifananisha.../
Kuwa UNDERGROUND sio kuwa mainstream failure, mc sio kuwa husle cause husle is for the failure.../
Halafu niambie umejifunza nini
BABU BOMBA....ZOHAANSiku kama ya Leo miaka kadhaa uko nyuma alizaliwa mfalme wa HIP HOP TANZANIA NIKKI MBISHI namtakakia heri katika siku yake hii Mungu ambariki.
Ametamba na VIBAO kama Playboy , Sauti ya Jogoo, PRICELESS, I'M SORRY JK .
LIVE LONG LEGEND.View attachment 1717138
View attachment 1717139
Alafu anakeambia Police niache niende mwanangu nitakupa RushwaMoja ya bars zake
Fungu la kupata, ndio la unju mazafaka.../
La kukosa la mazuzu zumbukuku wanafyata.../
Mgambo wanaruka na kukanyagana, mzuka kama unabana.../
mwana shuta au acha danadana.../
Msiniulize wimbo gani