Happy Birthday to 39-year-Old Halima Mdee

Sijamshambulia mkuu.....naheshimu maamuzi yake, sijajua kama ameamua kuishi single au vijana ndio tunashindwa kumtokea?
Kama ukitaka unazipata ziwe za kichina, kimarekani au kikorea una afford kwanini ukae nayo ndani ya kibongo Kaka radha ina muda wake better yeye
 
Happy birthday Madam..mimi ni mtu ambaye na support uendelee kuwa Single..ili uwe na mda mwingi wa kupigania Jamii yako ya KAWE..ili siku.moja waje kukumbuka kwa ushujaa wako...keep going Halima Mdee...
Heheeee na mwili una nafasi yake hata ukifanya kazi sana huna budi ulale nimpe pole sana kwa kujikita ktk sehemu moja na kupoteza sehemu moja mbaya zaidi angalie asijepoteza nafasi yk huko mbinguni
 
Kadada nakazimiaga sana, mm mwenyewe nipo Single. Kama upo hum Ni-PM nikupe greetings zangu Za BD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…