Itakuwa wameimaliza ndio maana.[emoji23] [emoji23]Heee
Kumbe, mbona wanarushiana mpira
Huyu mtoto mie alishanishinda tabia, labda dada yake uongee nae atakuelewa.Hivi alianzaje kula keki ya shangazi yake... Kamaliza kala ya dadake bila aibu kweeeli
Kwahiyo kumbe niliacha e moja, kumbe ni lee mutuz au!!Hahaha
Anaitwa Lee
Kwani kakimbilia wapi?Akuje kabisaa
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Ni kweli mimi ndio nilizichukua, ila shunie akala zooote, yaani yangu,yako na yake.Heee
Kumbe, mbona wanarushiana mpira
Haiwezekani my wiiItakuwa wameimaliza ndio maana.[emoji23] [emoji23]
Angekula ya kwako ila yangu lazima ailipeeHuyu mtoto mie alishanishinda tabia, labda dada yake uongee nae atakuelewa.
HahahaKwahiyo kumbe niliacha e moja, kumbe ni lee mutuz au!!
Kaenda kwa mume wakeKwani kakimbilia wapi?
Umesikia lakini[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Eti umesema!!!!
Yaani atanunua keki mpyaaNi kweli mimi ndio nilizichukua, ila shunie akala zooote, yaani yangu,yako na yake.
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Eti umesema!!!!
Ndio imeshakuwa hivyo my wi [emoji23] [emoji23]Haiwezekani my wii
Hata huku kwangu akajafika,cjui ndio nimesahaulika!Ilishaisha ila kuna watu niliwapelekea kamzigo nyumbani ndio kwengine hakajafika. [emoji2] [emoji2]
[emoji134] [emoji134]Ndio shangazi, nawe bila huruma ukazibugia zote.
HahahhhUsimgawe kwanza mpaka atugaie keki yetu
Nashangaa anataka kuharibu jina la shemeji yakoLe mutuz hiyo vipi