hongera zake jr
Itakuwa ni alama ya upendo, hakuna kubaguana sisi wote ni viumbe wa Mungu.😉😉Hivi shemeji unajifikiria hao wanyama aliowaweka wako wanafanya nini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] upendo usio na DOA. Upendo wa Agape
Itakuwa ni alama ya upendo, hakuna kubaguana sisi wote ni viumbe wa Mungu.😉😉
Sio mapenzi kama mapenzi tunayoyajua ila ni upendo. Sie katoliki tunafundishwa kuwa amri kuu aliyotuachia Bwana Yesu ni Upendo. Kuna amri kumi za Mungu lakini zote Upendo una apply. Kwa mfano. kama una upendo huwezi kumuua mwenzako, kama unapendo huwezi kuwakosea adabu wazazi wako, huwezi kulitaja jina la Mungu bure, huwezi kumtani mke au mali ya mwenzako, huwezi kuzini na wala huwezi kusema uongo.Kwa hiyo wako kwenye mapenzi ya kweli kwa lugha nyingine.