Mkuu mbona unaniombea nidedi mapema ivo? Mimi bado kama miaka 70 Mbele au ndo unataka unitapeli miaka yangu.Maisha yana maajabu sana sikia hii.
Ulipozaliwa ulikuja Duniani unalia na wengine wakifurahia.
Ukidead utakuwa unafurahia huko rohoni huku wengine ndio wanalia.
Happy b dei dogo boya but siku za kufa ndio zinakaribia hivyo. Unaogopa kinyama.[emoji23] [emoji23]
Tulia dogo unataka ardhi isipate rutuba kutoka mwilini mwako..kuna funza na minyoo kibao wanakusubiri wanataka wachukue madini fasta mwilini mwako wasambaze ardhini dunia yetu ipate rutuba kizazi kijacho kisipate tabu ya ukame na njaa.Mkuu mbona unaniombea nidedi mapema ivo? Mimi bado kama miaka 70 Mbele au ndo unataka unitapeli miaka yangu.
Kufa hakuna raha mkuu. nikifikiria kuoza roho inasinyaa
Usijali kakake!Ahsantee dada ake mm shakayoo
ila miaka mia nitasumbua watu 90 inatosha
Lini iyo.Mbona hata forum yetu muda wowote ina bee launched
Ya mazuzu na Under 20 itakua tofauti. ya mazuzu katibu wake ni baba swaleheLini iyo.
Au unasemea ile ya mazuzu
Maana kuna zuzu mmoja
. aliomba wawe na forun yao
Ahsante mkuu Nitayashika mausia yako. Thank brooKaribu dunia iliyo jaa kila ukipendacho
Elewa wewe ni sehemu ya hii dunia
Dai haki yako timiza wajibu wako
Chukulia unayo yapitia ndio uliyo andaliwa na alie kusudia uzaliwe
Jifunze kunyenyekea
Jifunze kukalipia
Jifunze kila lilio jema na litakalo kupa furaha
Yanayo umiza yafanye changamoto ili uyapite salama
Elewa muda sio wako zingatia kinacho kupendeza
Mungu amekuleta kwa makusudi
Chukua muda wako kutafakari ukuu wa mungu na uumbaji wake
Mwisho nikutakie siku yako ya utambulisho dunia
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Sawa MkuuAhsante mkuu Nitayashika mausia yako. Thank broo