Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Habari ya asubuhi JF Family.
Mnaendeleaje leo ninafuraha sana jmn kha!sio kwamba nimeongeza mwaka mpya tu..hapana ni kwa sababu nimeongeza mwaka mwingine nikiwa na afya njema na uzima pia.🙏Mungu kwa hii nafasi ya pekee sana kwangu.
Ndani ya uzima na afya, utaweza kwenda popote,kufanya chochote,kupigana na chochote na mengineyo mengi💃💃
Kwa team Gemini na kwa wote walizaliwa June, happy birthday to us
🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂
With
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mnaendeleaje leo ninafuraha sana jmn kha!sio kwamba nimeongeza mwaka mpya tu..hapana ni kwa sababu nimeongeza mwaka mwingine nikiwa na afya njema na uzima pia.🙏Mungu kwa hii nafasi ya pekee sana kwangu.
Ndani ya uzima na afya, utaweza kwenda popote,kufanya chochote,kupigana na chochote na mengineyo mengi💃💃
Kwa team Gemini na kwa wote walizaliwa June, happy birthday to us
🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂
With
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤