Happy birthday to Me. Happy birthday to all team June

Ahsante Mdogo.

Hahahaaa!!! Pole mdogo wangu huwa inatokea ila nizowee bana.

Hakika tunastahili kufanya kitu aisee. 😉😉
 
Labda umeshakimbiza age sana, watoto na vijana wao wanafurahia ila sisi age imeenda kila birthday ni kuukaribia mwisho...
 
Happy birthday to u
Yangu ilikuwa June 2 nimekuja kujua juz nikabak kucheka tu the real meaning of careless 😜
Thank you dear...

Happy belated birthday mkuu💞💞

😅😅😅umeona sasa...si ungeniambia nikukumbesha jmani..loh💓
 
Labda umeshakimbiza age sana, watoto na vijana wao wanafurahia ila sisi age imeenda kila birthday ni kuukaribia mwisho...
Cha msingi ni kushukuru mkuu...
Kuna wengine wanafika mwisho bado wadogo kabisa,vijana nguvu kazi..watoto..
Nafiki la muhimu ni kuwa kila nafsi itaonja mauti.tuzidi kujiombea mwisho mwema🥂🥂🥂
 
Cha msingi ni kushukuru mkuu...
Kuna wengine wanafika mwisho bado wadogo kabisa,vijana nguvu kazi..watoto..
Nafiki la muhimu ni kuwa kila nafsi itaonja mauti.tuzidi kujiombea mwisho mwema[emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Ilà Chak, anavyosherehekea mwenye 70 ni tofauti na mwenye 20.
 
Happy Birthday to us, mimi ni June 15
 
Happy birthday, nimekuzidi siku kadhaaa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…