Nitabadilisha tarehe jamani kha😅😅3/4 ya watu huku wamenizidi tarehe😢Happy birthday, nimekuzidi siku kadhaaa,
Umefanana jina na ndugu yangu fulani hivi.Happy birthday chakorii[emoji169][emoji169][emoji172]... Happy birthday to us June babiez
Na wewe ni timu June mkuu?
Haha hamna bossNa wewe ni timu June mkuu?
Happy birthday
Nikadhani na weweni team kumbe bado hahaHaha hamna boss
Bado sana, niandalie tu zawadi hahaNikadhani na weweni team kumbe bado haha
Unijulishe mapema tuu boss wangu zawadi haiwezi kosekana etiiBado sana, niandalie tu zawadi haha
Sawa boss, wewe tena nakujua sio wa mchezo mchezoUnijulishe mapema tuu boss wangu zawadi haiwezi kosekana etii
Wacha bana, eti so was mchezo mchezo...... Hahaaaa..... We hakikisha tu tarehe inafika kwa wakati nitajitahidi boss wanguSawa boss, wewe tena nakujua sio wa mchezo mchezo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawa bossWacha bana, eti so was mchezo mchezo...... Hahaaaa..... We hakikisha tu tarehe inafika kwa wakati nitajitahidi boss wangu