tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Leo natimiza miaka 32 tangu niletwe Duniani.Nimemshukuru mama Sana Kwa kila kitu.Lakini pia namshukuru Mungu Kwa kunipa uhai na pumzi bure.Changamoto za maisha napambana nazo pia kutafuta mkate na maisha mazuri kwaajili ya familia nitakayopata mara baada ya kuoa.Tuzidi ombeana Sana.Nawapenda Sana Wana jf wote,na nawaheshimu Sana.
Mungu awabariki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu awabariki.
Sent using Jamii Forums mobile app