Happy Birthday to Me, RIP Mama.

Page 94

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
5,204
Reaction score
15,207
If others has to die to let others survive; I believe mama had died to let me live.

Ikiwa Leo ni siku ya kumbukumbu yangu ya Kuzaliwa, pia ni siku ya kukumbuka mapumziko ya milele ya Mama yangu.

Mara nyingi, imekua ni siku ya furaha kwa Kuzaliwa, lakini majonzi na simanzi ziliizidi siku ambayo nilizaliwa. Mama na tegemeo La wengi, aliondoka angali akihitajika mno. The moment I was out, was the moment she has rested in an eternal peace.

Imekuwa ni ngumu sana kufanya hii ni siku ya kumbukumbu ya Kuzaliwa, badala yake imekuwa ni siku ya kukumbuka kifo cha mama.

Pamoja na yote, imekuwa ni siku muhimu sana. Siku ambayo hutuweka pamoja na kutuunganisha sote kama familia. Siku ambayo, kila mmoja huacha majukumu yake na kujumuika pamoja katika mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na sala na mengineyo.

Katika siku hii muhimu, utukufu umfikie Mwenyenzi Mungu,shukrani nyingi ziwafikie wote ambao wamenifanya kuwa hivi nilivyo Leo.

Zaidi, shukrani za kipekee zimfikie Mama- Dada yangu 'Neema',
Kwa jitihada zake za kipekee za kunikuza bila ya kuhisi kupungukiwa na chochote. Upendo wake usio na kikomo ndiyo nguzo ya ukuaji wangu mpaka umri huu.

Dada yangu ni Mama Yangu

Mungu awabariki wote na Mwenyenzi Mungu ampumzishe mahali Lema peponi mama yangu kipenzi.

Happy Birthday to me. Rest in peace Mama.
 
du! pole kwa kupoteza mama, lakini pia happy birthday.
Inaumiza sana
 
The moment you were out, is the moment your mother leave the world
First happy birthday to you.. Second let's our mother rest in an eternal
All we human being and we will return to Allah, her forward is our backwards
Enjoy the first day and sorrow the loss for ur beloved mama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…