Happy birthday to me

Mehek

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2017
Posts
7,473
Reaction score
10,426
Habari za Leo wana jf

Leo tarehe 12/5 nisiku muhimu sana kwanguu nisiku mama yangu bi Evetha alinileta dunia
Ahsante mungu kwa kunipa afya na nguvu mpk kufika Siku hii ya leo.... Nakuomba unipe maisha marefu yenye baraka teleeee

Happy birthday to me [emoji166] [emoji312] [emoji324] [emoji323] [emoji322] [emoji485] [emoji486] [emoji512] [emoji546]
 
Hongera sana kwa kutimiza siku ya kuzaliwa. Kama mzazi wako yuhai basi ni vyema leo ukampe zawadi.....Maana siku ya leo mama yetu alikuwa dunia nyingine....Hongera sana kwako na mzazi wako.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…