chavalla
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 451
- 354
Ilikuwa tar 16-4-.... ndipo nilipo iona hii Dunia nashukuru sana MUNGU wangu kwa kuniwezesha kuiona siku kama ya leo ni natimiza miaka kadhaa na ahsante mama yangu kwa kunileta Dunia ni. Na pia naomba MUNGU anizidishie miaka mingine kama hii. Happy birthday to me.