HBD mkuu...live long...!Ilikuwa tar 16-4-.... ndipo nilipo iona hii Dunia nashukuru sana MUNGU wangu kwa kuniwezesha kuiona siku kama ya leo ni natimiza miaka kadhaa na ahsante mama yangu kwa kunileta Dunia ni. Na pia naomba MUNGU anizidishie miaka mingine kama hii. Happy birthday to me.
Uwe na siku njema ya kuzaliwa Mkuu.
Ila umetisha aisee. Yaani bado dk 12 siku kugeuka ndio unaanzisha uzi. Kwa mbaali ni kama dalili za kutunyima keki.
Mshenga ujue Hajar kasikia aibu lol.hahahahaha.
mwali hivi kumbe na wew n mroho wa keki eee?
Mshenga ujue Hajar kasikia aibu lol.
Sababu sio kwa kumuita eti mroho. Hahaaaa.