HAPPY BIRTHDAY TO ME

mkalusanga

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
369
Reaction score
446
Habari Zenu Wakuu Leo ni Siku yangu ya Kuzaliwa Namshukuru Sana Mungu Kunipa Uzima Mpaka Leo Toka Nimejiunga Humu nina Miaka 8 Nilichopendea Humu Kila Mtu ni Mkuu Awe Wa Kike Au Wa Kiume Pia Watu Wengi humu Wana Upendo Nimejifunza Mengi Sana Humu Mengi ni Mazuli tu Mabaya Niliyaacha niliyokutana Nayo Nachotaka kuwaambia Endeleeeni na Upendo Asanteni Wooote.
 
Sending birthday blessings filled with love and peace and joy wishing sweetest things happen right before your eyes
 
Wow...Safi kumbe tarehe Moja
Akisema "mfanano siku ya kuzaliwa" hamaanishi kuwa nayeye alizaliwa siku kama ya leo, ila anamaanisha wewe ulizaliwa siku inayofanana na leo (tarehe/mwezi kama wa leo)..kwahiyo ulizaliwa siku inayofanana na leo
 
Mtembelee sasa boyfriend wako akakushughulikie vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…