Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Happy birthdayNamshukuru sana M/MUNGU mwingi wa rehma na baraka kwa kuniwezesha kufikia leo tarehe ambayo kwa uwezo wake nilikuja dunia shukran za dhati ziende kwa wzazi wangu wawili............Wallah nina furaha sana.
Happy escape womb day [emoji173][emoji7][emoji173]Namshukuru sana M/MUNGU mwingi wa rehma na baraka kwa kuniwezesha kufikia leo tarehe ambayo kwa uwezo wake nilikuja dunia shukran za dhati ziende kwa wzazi wangu wawili............Wallah nina furaha sana.
Kila LA kheriAhsante
Allahuma amin M/MUNGU akuongoze sana.Happy escape womb day [emoji173][emoji7][emoji173]
Ishi maisha marefu ...
Allah akupe hitaji la moyo wako na akufanye mama bora na mke bora na akupe busara na hekima katika mambo yako.
Pia, nakuombea akuepushe na hasada
Kumbuka; Umri wasogea na kifo kinasogea kwaiyo furahia huku ukizidishia mema kama KUTOA sadaka, kuishi vizuri na majirani na kusali na upunguze na kuacha madhambi.
UMRI MPYA NA MABADILIKO MAPYA ISIWE UMRI MPYA MAOVU MAPYA.... We love you friend ..nitumie keki [emoji39][emoji851][emoji39]
Tuma kapicha tukuweke statusNamshukuru sana M/MUNGU mwingi wa rehma na baraka kwa kuniwezesha kufikia leo tarehe ambayo kwa uwezo wake nilikuja dunia shukran za dhati ziende kwa wzazi wangu wawili............Wallah nina furaha sana.
Shunie knife.Happy birthday kwako mkuu
Mjeda [emoji847][emoji847]Shunie knife.
Mjeda [emoji847][emoji847]
Dah kuanzia mwaka huu sitasherehekea kwa chochote mjeda nahisi utu uzima umekaribia nimeamua kuachana na mambo za birthdayyako ni lini eti shunie knife
nmekupata vizuri shunie knife.Dah kuanzia mwaka huu sitasherehekea kwa chochote mjeda nahisi utu uzima umekaribia nimeamua kuachana na mambo za birthday