Happy birthday to me

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
21,329
Reaction score
28,063
Namshukuru Mungu kwa afya leo nimetimiza miak 34 tangu nizaliwe. Nawashukuru wazazi pia kwa kunilea na kila kitu toka kwao.

Maisha yangu bado napambana. Hapa nilipo sina
Nyumba, mke wala gari. Ila nitapambana mpaka nipate.

Happy birthday to me.
 
Si kila mtu happy ana gari au nyumba wala mke mfano Watoto Wadogo lakini huwa happy na husherehekea birthday
Be happy with whatever you have

Happy birthday to yo with whatever you have
 
Namshukuru Mungu kwa afya leo nimetimiza miak 34 tangu nizaliwe. Nawashukuru wazazi pia kwa kunilea na kila kitu toka kwao.

Maisha yangu bado napambana. Hapa nilipo sina
Nyumba, mke wala gari. Ila nitapambana mpaka nipate.

Happy birthday to me.
Happy birthday.,endelea kukaza buti mkuu mambo mazuri hayataki haraka....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…