Hupaswi kumcheka mtu yeyote kwa ugumu anaoupitia au changamoto anazopitia..ni mbaya sana..Walivyokongoroka
Ndio nimejitokeza sasaSio Nina mume mwingine humu..sina mpenzi kabisa humu itakuja kuwa mume jamani......loh!
Thank you! Happy birthday to you #GeminiSeasonNi jambo la kumshukuru Mungu sana kwa nafasi hii ya upendeleo..Sifa,Shukrani na Utukufu ninakupa wewe uketie mahali Patakatifu..Amen
Happy birthday [emoji324][emoji323][emoji322][emoji320][emoji512] to me kwa mara nyingine tena.
Happy birthday y’all team Gemini [emoji1635][emoji1635][emoji3344][emoji3344]
Chakorii
Ankal labda iwe diluted..hiyo concentrated nimuachie mwenye jina lake apambane nalo hukoAnkal pokea zawadiView attachment 1808028
HahahaAnkal labda iwe diluted..hiyo concentrated nimuachie mwenye jina lake apambane nalo huko
🥰🥰🥰Nakupendaga pia cha upole wangu..hunaga hiyana my Carleen..Cha uchangamfu wangu, Nakupendaga tu Mimi mwenzio, Mungu akakuangazie nuru za uso wake siku zote za maisha yako,
baraka, mafanikio, upendo, afya njema na amani viambatane nawe kila iitwapo leo, Kheri ya Siku ya Kuzaliwa Chakorii wange'..!! ❤️ ❤️
Amen!Amen!Amen mama mchungaji wangu..na iwe kama usemavyo mama🥰🥰🥰ikawe heri kwangu🙏🙏Happiest birthday mrembo. Mkono wa Bwana usikupungukie; ukalindwe na kutunzwa. Mungu akakupe kicheko cha kudumu kwenye maisha yako. Nuru ya Kristo ing'ae kwenye maisha yako.[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Ndio hivyo sasaWee usiniambie bhana 😅😅