Happy birthday ChakoriiLeo ni kumbukizi ya kuzaliwa Kwa chakorii..
Karibu tusheherekee pamoja na Gemini.
Kama na wewe unasheherekea birthday yako leo tafadhali mguse Mungu Kwa namna ya kipekee kabisa.Tembelea watoto yatima watu waishio katika mazingira magumu,,kula nao mfurahi.
Mungu akubariki utoapo na upokeapo.
Zawadi zinakaribishwa jaman[emoji6]
[emoji126][emoji126]
kumbe humu ndani kuna girl anaitwa Nasma!Hbd to you
🤣Kuna tatizo mkuu?kumbe humu ndani kuna girl anaitwa Nasma!
😬
hapana ila huwa na fall sana kwa akina Nasma😬 i need to be careful🤣Kuna tatizo mkuu?
Yeah,very careful 🤣hapana ila huwa na fall sana kwa akina Nasma😬 i need to be carefulView attachment 2645693