that manzi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 385
- 1,246
Awape yoteWatakuja tu! Ila usiwabanie
hbd mkuu
unaelekea ushangazini
hbd that manzi [emoji23] vipi amekununulia iphone 14??
Ongezeka umri dear wala usijali A na B zitakukuta kwa mume nikimaanisha olewa kwanza.
ushaanza kubisha hodi😊Ushangazi huu hapa
Picha
Happy birthday classmate
Happy birthday to you but happy birthday bila kwichikwichi Ni sawa na mei mosi tu
Happy birthday dear
Happy birthday that manzi
A ni nini na B ni nini?
Semelea hizo A na B upate ufumbuzi kwetu wanaJF [emoji2]
Hata usiwazeAsante joanah
A wala b sina mbele wala nyuma [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hata usiwaze
Unaweza kujiona umechelewa lakini mambo yakakunyookea ndani ya muda mchache hadi ukashangaa
Picha inakuja kaa hapohapo usitoke