Happy birthday to me

Happy birthday to me

papag

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
1,156
Reaction score
1,667
Napenda kuchukua nafasi hii adhimu kwa kujipongeza kufika mwaka mwingine tena.

Nawashukuru wazazi wangu walionileta duniani huko waliko waendelee kupumzika kwa amani.

Namshukuru Mungu mwingi wa rehema kwa kuendelea kunilinda pamoja na mapungufu mengi ninayo mtendea kwa namna yeyote ile.

Na wale wana JF amabao tumezaliwa tarehe moja hii ya 25/7 pia nawapa hongera. mungu aendelee kutubariki.

Happy birthday to me Papag.

Ahsanteni na mbarikiwe
 
Napenda kuchukua nafasi hii adhimu kwa kujipongeza kufika mwaka mwingine tena. nawashukuru wazazi wangu walionileta duniani huko waliko waendelee kupumzika kwa amani. Namshukuru Mungu mwingi wa rehema kwa kuendelea kunilinda pamoja na mapungufu mengi ninayo mtendea kwa namna yeyote ile. Na wale wana JF amabao tumezaliwa tarehe moja hii ya 25/7 pia nawapa hongera. mungu aendelee kutubariki.
happy birthday to me Papag.
ahsanteni na mbarikiwe
Heri ya siku ya kuzaliwa ndugu yangu, tumsifu na kumtukuza Mungu na kuwapa pongezi wazazi
 
Back
Top Bottom