Happy birthday to me!

Tee Bag

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
7,220
Reaction score
5,622
Kwa member wote wa JF ;tarehe kama ya leo ; siku ya jumatatu majira ya saa mbili na nusu usiku miaka kadhaa iliyopita katika hospital ya mkoa wa Tanga (Bombo) ndio Mr. Tee Bag alizaliwa.

Kwa member wote na uongozi mzima wa JF nawatakieni heri ya Christmas na mwaka mpya wenye mafanikio.
 

Attachments

  • 1450865200563.jpg
    37.8 KB · Views: 121
Pokea pongezi za siku ya kuzaliwa kwako. May you blow more than 100 candles associated with the God's blessings mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…