Happy Birthday to mie

Rohombaya

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
13,067
Reaction score
10,393
Dah...Leo nimegonga mvua 70 na ushee...Nilipotoka ni mbali sana..niliyoyafanya ni machache sana ...ninapokwenda ni karibu lakini nina mengi ya kufanya...muda hautoshi...kichwa kinapata moto...Kitaeleweka tuu ...Dah πŸ™„πŸ™„πŸ™„

 
Happy birthday to you
Kwa umri huo mrudie Mungu sasa
 
happy birthday kwako ila kwa umri huo ni vyema kuchongesha jeneza sasa mana ni kipindi cha mwishoni kwako hahahaaahaahaa!!!!!!!!
Dah..asante sana....sina mpango huo kwa sasa....ninajipanga kuongeza 70 nyingine πŸ™‚πŸ™‚
 
Dah..asante sana....sina mpango huo kwa sasa....ninajipanga kuongeza 70 nyingine πŸ™‚πŸ™‚

Hahahhahaa....!!!!
kwa hali ilivyo ngumu sasa nahofia unaweza bebwa kwenye box au mkeka.
hahahaΓ 
 
mie siamini kama kweli umefikisha 70 japo sikukuzaa mie na wala sina cheti chako cha kuzaliwa wala kadi ya kliniki!
 
Anytime funguo zinaweza kurudi
Bora kurudi msafi πŸ˜‰
Dah...hakuna kitu kama hicho...kila kitu ni kujipanga tu..mbona wengine wanarudisha funguo kabla hata kupiga kura?
 
Dah....mwaka mwingine tena....bado mengi ya kufanya....kichwa kinapata moto....kitaeleweka tu [emoji41] [emoji87] [emoji15]
 
Happy belated birthday, badilika mkuu kuwa na roho nzuri sasa.
 
Dah....Bado nasonga mbele...nyuma mwiko...mwaka mwingine the umepita.....ninapotoka mbali...nimefanya machache sana...bado mengi yananisubiri...siku za kuishi zinazidi kupungua...I mean nazeeka...nitaota mvi....baadaye nitakuwa na wajukuu...wataniita Babu... Babu... Happy birthday and Long live kwangu... Dah[emoji23][emoji23][emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…