Hongera ziende kwa serikali awamu ya tano na rais magufuli kwa kufanikisha happy birthday ya bashite.
Mzee baba anaweza kum surprise kwa zawadi ya kumteua kuwa mkuu wa mkoa wa kanda yaani Dar, Moro na Tanga.
Ila Secretary Pompeo ana mlia timing
Sent using Jamii Forums mobile app
Andika jina lake vizuri daudi albert bashite,a.k.a zero brainNAKUOMBEA Kheri Afya mafanikio
Lkn Zaidi Nakuombea Ufunguliwe Katika Ban Ya America Mtani Wangu
Heri Ya Siku Yako Adhiiim Baba KeaganView attachment 1358265
Sent using Jamii Forums mobile app