EHerufi yako ya mwanzo ni ipi?
Sio weweeee
Kwan huyo unayemtafuta jina lake linaanza na herufi gnSio weweeee
MKwan huyo unayemtafuta jina lake linaanza na herufi gn
Mtumie mabusu na makopa kopa meengi.Kuna mtu ananisumbua sana njoo pm nikutwangie Nina pdf lake namuonea huruma anataka kuniharibia siku
Jina la mtaani linaanza na M ila la nida ndio E
Uongo uongo tu, Sema ulikuwepo na I'd yako nyingine 😏😏😏Story ya gilesi nilipewa😎
Lile jina full ulikua unatumia hapa 🤔Jina la mtaani linaanza na M ila la nida ndio E
Lipi hilo mkuu 😎Lile jina full ulikua unatumia hapa 🤔
Njoo pm unipe story ya GilesUongo uongo tu, Sema ulikuwepo na I'd yako nyingine 😏😏😏
Mchafu hafaiMtumie mabusu na makopa kopa meengi.
Yaniiii🙂🙂 Niitie Max ajibu kwanini humu hamna emoji ya Hug. . Ss namjibuje😥
Kuna nini tena dear au unaniota ota kila saa?Chaliifrancisco una uhakika leo hujaniroga?🤔
Namjua anaitwa Dickson Mbaga alikuwa anaishi Kibaha, Maili Moja.Nilikua na bf jina lake la ukoo ni Mbaga ana kichwa kikubwa
Sio wewe kweli?
Na wewe nani?Namjua anaitwa Dickson Mbaga alikuwa anaishi Kibaha, Maili Moja.
Ndio😣Kuna nini tena dear au unaniota ota kila saa?