Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Na usiku je hujaotaNdioπ£
NimeotaNa usiku je hujaota
πEzekiel 1:1-20Lipi hilo mkuu π
Umeota au umeniota?Nimeota
NimekuotaUmeota au umeniota?
π AiseeeπEzekiel 1:1-20
Jina la kati linaanzia N ?π Aiseee
Linaanzia na JJina la kati linaanzia N ?
HakunaaaaaaaaKuna siku waifu alininunulia keki kwaajili ya birthday, mie nikapitia bar kukata maji......
Nilikuja kurudi home usiku mwingi na watoto walisha lala.
Asubuhi waifu akawapa watoto wanywee chai.
Namaanisha kwamba, wengine hatujazowea haya mambo na sina uhakika kama kuna mwanaume anafagilia hizi pigo.
Basi sioLinaanzia na J
Bhana mm nilibadili majina mana yale ya mwanzo nlkuwa siyapendi, ila bado nakupenda sana na Siwez kuishi bila ww my loveBasi sio
Jamani jana nilikuwa busy, sikuingia humu. Happy belated Birthday mzee wa Kigamboni Vincenzo Jr Miaka mingi kwako, na ndoto yako ya kufika Italy itimie π π π π π π πππππππΎπ₯Bila kuona comment ya tajiri kubwa Bantu Lady sitoridhika kabisa π
Ushawahi kusoma kitu hadi kichwa kikauma?Bhana mm nilibadili majina mana yale ya mwanzo nlkuwa siyapendi, ila bado nakupenda sana na Siwez kuishi bila ww my love
Utakachonijibu baada ya hapa ndo kichwa kitaanza kuumaUshawahi kusoma kitu hadi kichwa kikauma?
Huna baya boss kubwaJamani jana nilikuwa busy, sikuingia humu. Happy belated Birthday mzee wa Kigamboni Vincenzo Jr Miaka mingi kwako, na ndoto yako ya kufika Italy itimie π π π π π π πππππππΎπ₯
binafsi sijawahi kukata keki ya siku ya kuzaliwaKuna siku waifu alininunulia keki kwaajili ya birthday, mie nikapitia bar kukata maji......
Nilikuja kurudi home usiku mwingi na watoto walisha lala.
Asubuhi waifu akawapa watoto wanywee chai.
Namaanisha kwamba, wengine hatujazowea haya mambo na sina uhakika kama kuna mwanaume anafagilia hizi pigo.
Nimeipenda hiiItakua yupo gym
Nimeipenda hii,don't give up mangi ππMambo yashakua mengi tayari ila mimi ni mangi aseeeπππ
ππVocha bado zinakuumaπ
Matajiri wanaendelea kuishi ndani ya mioyo yetuβΊοΈ