Ohhh!! kumbe nilikuwa sijamalizia....ni kweli kabisa ni katika Jina lipitalo majina yote.... na katika Jina hilo tunaokolewa..AMEN!
Enjoy your day dear!
najua keren ulimaanisha yule mweny jina kuu kabisa,,,asante sana dear,,kweli nakuombea mema uzidi kusmileπ
Mimi niko fellowshipkaribia wote hapa naona posted via mobile kwani mko wapi?mm niko mlimani inaeleweka
mhandisi bana!ile maneno yetu tutamalizia lock twn ni noma,,fanya uje na githeri ipunguzie mm hasira
Keren mambo.Asante dear.
Mimi niko fellowship
umenitengenezea smile on my face,,ni kipindi cha nenoooo,au sifaaa,au shuhudaaaa,,au kuabudu?busy chatting though,,amazing!
Mimi taletea wewe muthokoi na waruu ndio hasira natoka msuri....hehehehee
karibia wote hapa naona posted via mobile kwani mko wapi?mm niko mlimani inaeleweka
Mimi nipo shambani...mvua zimeanza hilo sio siri....ni kilimo kwanza mengine baadae
Keren mambo.
Mimi nipo shambani...mvua zimeanza hilo sio siri....ni kilimo kwanza mengine baadae
hahaha!muongo utamjua tu,,shambani siku ya bwana,,,au unaombea mazao upate mavuno mengi?
hahaha!muongo utamjua tu,,shambani siku ya bwana,,,au unaombea mazao upate mavuno mengi?
Si ndio....bila imani yenye maombi mazao hayaoti....tena unisaidie kwa maombi ukiwa huko mlimani
Si ndio....bila imani yenye maombi mazao hayaoti....tena unisaidie kwa maombi ukiwa huko mlimani
ntakuombea sana,,,umeona pj anavyodhibiti eee?mwisho atatuzibia ujue?inabidi tusiwe tunamuaga,,,lolπ
amen afro wangu,nakuombea mema hope utakuja na ze most fainesti for a cheer
ntakuombea sana,,,umeona pj anavyodhibiti eee?mwisho atatuzibia ujue?inabidi tusiwe tunamuaga,,,lolπ
Umemuona eeh....ngoja siku nitakapomkamata ndio atajibeba
Sante bibi
Mzuri
Most Finest
Hanitaki tena siku hizi
nta kujamwenye..lol
Umemuona eeh....ngoja siku nitakapomkamata ndio atajibeba
huyu dawa yake uje nayo kabisa ili tufanye mixture na ile ya loli itamtuliza jumla
aww noooo!nataka niamini unatania na si vinginevyo,,,hii kesi ataweka wakili gani?hebu thibitisha kuwa ni kweli nijue pa kuanzia plz
Ahaaaa what have i done wrong?Sante bibi
Mzuri
Most Finest
Hanitaki tena siku hizi
nta kujamwenye..lol