Happy Birthday WiseLady!

Ohhh!! kumbe nilikuwa sijamalizia....ni kweli kabisa ni katika Jina lipitalo majina yote.... na katika Jina hilo tunaokolewa..AMEN!

Enjoy your day dear!

najua keren ulimaanisha yule mweny jina kuu kabisa,,,asante sana dear,,kweli nakuombea mema uzidi kusmileπŸ™‚
 
mhandisi bana!ile maneno yetu tutamalizia lock twn ni noma,,fanya uje na githeri ipunguzie mm hasira

Mimi taletea wewe muthokoi na waruu ndio hasira natoka msuri....hehehehee
 
Mimi taletea wewe muthokoi na waruu ndio hasira natoka msuri....hehehehee

hihihihi!mhandisi bana,,so many ahadiz no utekelezaji!wacha nitarajie hiyo inaonekana itatoa hasira,,ila isichelewe basi
 
Sante bibi
Mzuri
Most Finest
Hanitaki tena siku hizi
nta kujamwenye..lol

aww noooo!nataka niamini unatania na si vinginevyo,,,hii kesi ataweka wakili gani?hebu thibitisha kuwa ni kweli nijue pa kuanzia plz
 
Aiseee kumbe nimekosa uhondo kuchelewa kulog in JF, Ok hakuna mbaya lakini. Happy birthday WiseLady, how older you are? Tupo pamoja ingawaje leo nimepata jibu! Usiniulize ni jibu gani, tehe tehe tehe.
 
aww noooo!nataka niamini unatania na si vinginevyo,,,hii kesi ataweka wakili gani?hebu thibitisha kuwa ni kweli nijue pa kuanzia plz

Mmmhhh
hii hata mahakamani hawata iweza
Nway
Leo siku yako mpenzi weka miguu ya hiyo
lazy boy,
kimey akupe massage
Preta akunyweshe kwa mrija
Dena Andika akupepee
TF akalete hayo maua
ngoja niandae part
Leo ni Leo asemaye kesho ni muongo
enjoy
 
ndio nimetoka ubalozi wa china kuomba viza mida hii. 生日快樂
(meaning hepi besdei). nasafiri nekst week.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…