Happy Birthday young Malcom Umesalimika.

Happy Birthday young Malcom Umesalimika.

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,113
Reaction score
65,124
Leo ni birthday ya Malcom Lumumba,..Almanusura nipate ajali leo asubuhi navyoenda kazini daah.

Kweli wanawake siyo madereva wazuri. Yani anataka kunisababishia ajali kwenye siku yangu ya kuzaliwa.

Wewe unajipodoaje kwenye gari?
Hivi leo ningekuwa hospitali au marehemu kisa undezi wa mabinti wa mujini?

Sasa nkajiuliza hata Chata sijaacha nyuma hivi ningekumbukwa kwa lipi?
Ila Mungu mwema I'm here.

HAPPY BIRTHDAY TO ME.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Itakuwa ulisahau ndio umekumbuka now au umekumbushwa.

Heri ya siku ya kuzaliwa, Mwenye enzi akujaalie kila lililo haja ya moyo wake, ila mapenzi yake yatimie kwako.
 
Itakuwa ulisahau ndio umekumbuka now au umekumbushwa.

Heri ya siku ya kuzaliwa, Mwenye enzi akujaalie kila lililo haja ya moyo wake, ila mapenzi yake yatimie kwako.


Haki ya nani ndiyo natoka kazini usiku huu.
Nitasahauje siku yangu ya kuzaliwa?

Majukumu tu ya ofisini,
Hata jamiiforums naingia kwa kuchungulia. Unakuwa free usiku tu.

Ila thanks bwana dada I'm gonna need it.
 
Back
Top Bottom