Happy Birthday Zitto Kabwe

Ninakutakia maisha marefu na yenye mafanikio, kumbuka kumshukuru Mungu kwa wema wake.
 


haya ngoja mama ajivunie mafanikio yake ngoja na mie nikaze buti ili wazazi wasije kuregret kwa nini walinizaa
 
Ooooooops! Pls accept my belated birthday wishes, may you grow to become the real saviour of this country.
 
I wish u to light 101 candles. One day you will be like President Barack Obama. Have a merry birthday.
 
yeah..may the almighty god pour showers of blessings upon you in your happy day and for ever
 
yaa! HaPpY bIrTh DaY ZITTO but kaza buti na punguza mapozi.........
 
Happy belated B'day kaka tuko pamoooooooooja!!!!!!!!1
 
Happy Birthday Mh. Zitto Naibu katibu Mkuu CHADEMA

Ukweli tayari ushaanza kupita kwenye mabonde na milima

wishing a happier life
 


happy birthday
 
happy bday sijui nikuite mzee/kijana/mtoto
unatimiza miaka mingapi?
ingekuwa vizuri ungetuwekea historia ya maisha yako siku ulivyozaliwa na changamoto mbalimbali mama yako alizokutana nazo
kitu gani mama yako amefanya tofauti mpaka wewe ukaweza kunyooka wakati wazazi wengine wanashindwa, yote ni mambo ya kutoa elimu kwa wakina mama wadogo
 
Unafiki mtupu! wewe si uleikuwa unamshambulia Zitto hapa leo kawa "kamanda"

makamanda ndio wanashambuliwa, wananchi wakawaida hawashambuliwi
leo ni siku yake ya kuzaliwa kwa hiyo hakuna budi kusherekea
JF watu wanapingana hoja na sio kuwekeana visasi
 
hongera!
miaka 33 sio michache
 

ujana maji ya moto,mambo mengi yanayotokea kwa sasa ni mapito tu.i mean ujana in the making!....vumilia,yatakwisha haya!
.....ukitulia unaweza kuwa somebody
 
Happy birthday Mheshimiwa Zitto. The end of one event marks the beginning of another one
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…