happymwashi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 980
- 846
Heri kwako tajiri ishi sana huna bayaβοΈHappy birthday to me View attachment 2597589
Muache Dada wa watuHongera ila Wigi kama kofia ya bruce lee
Samahani sana kama nimekukwaza,nisamehe mkuu...sikudhamiria kabisa na sikudhani kama ungejisikia vibaya..nisamehe sana mkuu..Muache Dada wa watu
Yameisha Mkuu..basi tu nilijiskia vibaya juu yakeπ€π€π€π€π€Samahani sana kama nimekukwaza,nisamehe mkuu...sikudhamiria kabisa na sikudhani kama ungejisikia vibaya..nisamehe sana mkuu..
Wako mtiifu..