Happy Birthday SwiriiMy Birthday mate....
Happy Birthday to US Babe...
Waaaoh this is crazy You were born same date with Cristiano Ronaldo, Neymar Dos Santos? π€©π€©π€©Feb 05π Manyanza
Hongera sana broCha kamusi ya google.. Mpaka nimetoka jasho kwakuwa ujumbe ulikuwa unaenda kwa mtu maalum sanaπππ
Hongera sana mpenzMy Birthday mate....
Happy Birthday to US Babe...
Thank you Love.Happy Birthday Swirii
Ahsante Babe....Hongera sana mpenz
Happy birthday to you cute
Na wazee wa kilingeni nao wanapenda rangi ya mtume π€£π€£π€£π€£π€£Chombo ya Jr hii...πView attachment 3152107
Mashaallah πChombo yake Mshana Jr
Hajanichagua usiku, kaniona mchana kweupeee
Chombo ya fundi.Chombo ya Jr hii...πView attachment 3152107
Party mnafanyia kilingeni au nyumbani ?Awwww
Thank you so much my love ππππ
I love you more than the words can explain
acha tu C'ssy, mkimbizano uliopo kwenye hii dunia ya Mungu, vitu vya mzungu siyo wa kitoto..!!Thank you Babe...
Been a while...unaendeleaje kwanza?
Zimwi likujualo halikuli likakwishaDaaah aiseee sina neno...
Ila nkuulize madam Angel Nylon hivi usiku huyo jamaa huwa anashinda hom hapo...?
Swali la pili.
Madam we huogopi licha ya mada zake za kutisha huyu kiumbe..?
ππππππππ
min-me umeniona kama sio bonge eeh πMkuu umeongea kinyonge sanaππ
πππππWee haya tuu mi sina neno ila kuwa makini mnoo...Zimwi likujualo halikuli likakwisha
Kheri ya unaemjua mambo yake na ukaridhika kuishi nae kuliko mamluki
10 yrs, fam chezo
Lako wewe dua la kuku π€£π€£π€£We si unakiona chombo hicho mzee, jamaa anaishi pazuri, na ninaomba waachane, na wataachana tu...