Afazali sana๐Sawa mkuu wazee wa vitofa tumekuelewaView attachment 3152260
Ameen Sweet C'ssy, atukuzwe Bwana wetu Yesu atubarikiye kwa baraka zote za mwilini na rohoni..!!๐๐Pole Mdogo wangu....Nakuelewa...
I'm doing well...Yesu anazidi kunipigania...
Ugomvi wangu mimi na wewe, ni kwa nini unadanganya umma kwa tabia usizofanya?yaani huna huo uasherati wako wa mdomo ndio unaoniacha hoi๐Wee utakhwa kapuku kama mie tuu.
Ukitaka kunulika hapa jf uwe na hela mwanawane.
Sii unaona kama mie Joannah kanisanua kuwa kwenye vikao vya mashangazi wa jf mie mzabzab wananiona boya tuu eti nhoka wa kibisa kisa sina hela
๐๐Ugomvi wangu mimi na wewe, ni kwa nini unadanganya umma kwa tabia usizofanya?yaani huna huo uasherati wako wa mdomo ndio unaoniacha hoi๐
Sasa na wewe unacheka nini๐๐
Lakini jama i mie sii kila leo nasema hapa kwamba nina kibamia na ninanyetuka na mlenda vuguvuguUgomvi wangu mimi na wewe, ni kwa nini unadanganya umma kwa tabia usizofanya?yaani huna huo uasherati wako wa mdomo ndio unaoniacha hoi๐
Woow! Hongera sana mom๐
You are my angel,๐ you are my everything, you mean more than anything. When I see your smile so lovely and bright, makes the world seem right.Thank you so much my hubby Mshana Jr for everything you have offered on my special day
and thank you all for your sweet wishes and duaa.
Barakallah mahabiby na mahabibaty
Mfyuuu kabisa!Lakini jama i mie sii kila leo nasema hapa kwamba nina kibamia na ninanyetuka na mlenda vuguvugu
๐คฃ๐คฃ๐คฃanakucheka wewe,si nilikuambia watu wana taarifa zako kwenye kikao cha mwishoSasa na wewe unacheka nini
Nimefurahi tu jamniSasa na wewe unacheka nini