Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
Asante Mungu kwa kuniongezea mwaka mwingine,
Asante kwa kila kitu katika maisha yangu, furaha, huzuni, majuto, maumivu, afya njema, ugonjwa n.k, naamini kila ninalokutana nalo kwenye safari hii ya maisha, ni sehemu ya kujifunza, kufunzwa, kuonywa na kukomaa kimwili na kiakili...
Help me to be good to people, and to be kind and to always put u first in my everything...
Happy bday to me!!
Asante kwa kila kitu katika maisha yangu, furaha, huzuni, majuto, maumivu, afya njema, ugonjwa n.k, naamini kila ninalokutana nalo kwenye safari hii ya maisha, ni sehemu ya kujifunza, kufunzwa, kuonywa na kukomaa kimwili na kiakili...
Help me to be good to people, and to be kind and to always put u first in my everything...
Happy bday to me!!