Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Leo ni siku yako ya kuzaliwa na unaiadhimisha ukiwa jela kutokana na kupigania Uhuru wa Nchi yako.
Mungu akupe maisha marefu
Mungu akupe maisha marefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Happy birthdayLeo ni siku yako ya kuzaliwa na unaiadhimisha ukiwa jela kutokana na kupigania Uhuru wa Nchi yako .
Mungu akupe maisha marefu
View attachment 1936625
Happy birthday Simba wa Afrika.Leo ni siku yako ya kuzaliwa na unaiadhimisha ukiwa jela kutokana na kupigania Uhuru wa Nchi yako .
Mungu akupe maisha marefu
View attachment 1936625
Ni heshima kubwa kwamba F.A. Mbowe ndio amebeba matumaini ya watanzania wapenda Demokrasia na Uhuru wa kweli. Yuko mstari wa mbele na ndio maana mishale yote ya sumu inaelekezwa kwake.Mkewe na watoto wake sijui wapo hali gani kuona mume/baba ana sherehekea siku yake ya kuzaliwa jela. Tena kwa tuhuma za kusingiziwa.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Amen. Sala tosha kabisa hii.Ni heshima kubwa kwamba F.A. Mbowe ndio amebeba matumaini ya watanzania wapenda Demokrasia na Uhuru wa kweli. Yuko mstari wa mbele na ndio maana mishale yote ya sumu inaelekezwa kwake. Ee Mungu, Mweza yote, umpe nguvu kamanda wetu, uifariji familia yake na wapendwa wake. Umrudishie mara mia kwa kujitolea kwake. Damu iliyomwagwa katika mapambano haya, isipotee bure, bali uitakase iwe sehemu ya gharama ya ukombozi wa Taifa ketu, wala isiwe sababu ya laana kwa Taifa
Nimeweka status night hii.Leo ni siku yako ya kuzaliwa na unaiadhimisha ukiwa jela kutokana na kupigania Uhuru wa Nchi yako .
Mungu akupe maisha marefu
View attachment 1936625
Matumaini ya Watanzania wanabebwa na Watanzania wenyewe. Mbowe pekee hawezi kubeba matumaini ya Watanzania. Tatizo hapa ni kumuweka mtu mmoja juu ya wengine anaofanya nao kazi.Ni heshima kubwa kwamba F.A. Mbowe ndio amebeba matumaini ya watanzania wapenda Demokrasia na Uhuru wa kweli. Yuko mstari wa mbele na ndio maana mishale yote ya sumu inaelekezwa kwake. Ee Mungu, Mweza yote, umpe nguvu kamanda wetu, uifariji familia yake na wapendwa wake. Umrudishie mara mia kwa kujitolea kwake. Damu iliyomwagwa katika mapambano haya, isipotee bure, bali uitakase iwe sehemu ya gharama ya ukombozi wa Taifa ketu, wala isiwe sababu ya laana kwa Taifa
Mwendazake mlithubutu kumuita mungu wa watanzania, mlimuweka chini ya nani?Matumaini ya Watanzania wanabebwa na Watanzania wenyewe. Mbowe pekee hawezi kubeba matumaini ya Watanzania. Tatizo hapa ni kumuweka mtu mmoja juu ya wengine anaofanya nao kazi. Yaani tunakuwa na cultish belief kwamba hakuna mwingine isipokuwa yeye. Kwanza mtu mwenyewe kwenye uongozi ameonekana kupwaya, akiwa amejikita kwenye kula pesa ya CHADEMA. Amkeni, tujuwe CHADEMA HAINA KIONGOZI MMOJA TU. wAPO WENGI, NA KUSHIRIKIANA KWAO NDIYO KUTALETA MABADILIKO, SIYO IMANI KWA MTU MMOJA UTAFIKIRI mUNGU.
Hayuko jela ila mahabusu tu, Acha kupotoshaLeo ni siku yako ya kuzaliwa na unaiadhimisha ukiwa jela kutokana na kupigania Uhuru wa Nchi yako.
Mungu akupe maisha marefu
View attachment 1936625